Butiama Cultural Tourism Enterprise (BCTE)

Butiama Cultural Tourism Enterprise (BCTE) The Butiama Cultural Tourism Enterprise (BCTE) is a community-based organization that promotes visits to Butiama, with historical and cultural attractions.

Entrance fees
All fees in Tanzanian Shillings
……………………….. RESIDENTS’ FEES
Adults: 2,000
Students and children: 300

NON-RESIDENTS’ FEES
Adults: 4,000
Students and children: 1,500

20/10/2023

SANAMU YA MWL. JK NYERERE.
Sanamu hii iliyotengenezwa kwa madini ya chuma inayoonesha twasira ya Mwl. JK Nyerere alipewa na Wajerumani k**a zawadi mwaka 1966, baada ya kuwa Rais wa kwanza wa Tanzania.

Na hapa ilipo ni sehemu ambapo Mwl. Nyerere alipozaliwa, na hapa ndipo nyumba ya Bi Christina Mgaya Nyang'ombe Mama yake na Mwl. JK Nyerere ilipokuwa, ilikuwa imejengwa kwa tope juu yake ikiwa imeezekwa kwa Nyasi.

Zamani Zahanati na hospitali hazikuwa nyingi k**a ilivyo kwa sasa ambapo kila sehemu zimeenea, hivyo Wamama walikuwa wanajifungulia tu ndani k**a kawaida baada ya hapo kitovu au kondo la mtoto huzikwa ndani ya Nyumba.

Na sanamu hii imewekwa hapo kwaajili ya kuenzi uzao wa Bi Christina Mgaya Nyang'ombe na Mwl. JK Nyerere ambapo ndipo kitovu Mwl. Nyerere au kondo lake lilipozikwa au kufukiwa.

Tembea kwenye makazi ya Mwl. JK Nyerere (MWITONGO).

Culture is Beautiful 💖💖💖, Culture is Incredible 💫💫💫



🇹🇿 .tanzania

Follow me
https://instagram.com/mpina_jeremiah?utm_source=qr&igshid=MThlNWY1MzQwNA==

20/10/2023

SEHEMU YA MWENGE.
Ukiwa MWITONGO (Makazi ya Mwl. JK Nyerere) basi unayo nafasi kubwa sana ya kupata moja mbili tatu kuhusu sehemu ya Mwenge.

Hii ni sehemu maalum ambayo Mwenge wa uhuru unapokuwa ziara Mkoani Mara lazima kuja katika hili eneo kwaajili ya kumuenzi Baba wa Taifa (Father of the Nation) Mwl. Julius Kambarage Nyerere, pia ni sehemu kwaajili ya kuzimia au kuwashia Mwenge kulingana na ratiba jinsi ilivyo pindi pale Mwenge unapoanza safari ama kumaliza safari.

Haya ni baadhi tu, ils mengi utayapata pindi unapotembelea MWITONGO au Makazi ya Mwl. JK Nyerere

Culture is Beautiful 💖💖💖, Culture is Incredible 💫💫💫

21/03/2023

Marking 31 years of Namibia's independence with the people of Namibia. / Tunaadhimisha miaka 31 ya uhuru wa Namibia na watu wa Namibia.

Karibu Mwitongo, Butiama. Tunatumaini ukitutembelea na wewe utaondoka na kumbukumbu nzuri ya Mwitongo. / Welcome to Mwit...
05/12/2022

Karibu Mwitongo, Butiama. Tunatumaini ukitutembelea na wewe utaondoka na kumbukumbu nzuri ya Mwitongo. / Welcome to Mwitongo, Butiama. We hope after you visit, you will also retain pleasant memories of your visit. www.butiamatourism.co.tz
@100
@100


Enzi hizo, Marais: Kenneth Kaunda wa Zambia, Mwalimu Julius Nyerere wa Tanzania, na Milton Obote wa Uganda. / Flashback,...
29/11/2022

Enzi hizo, Marais: Kenneth Kaunda wa Zambia, Mwalimu Julius Nyerere wa Tanzania, na Milton Obote wa Uganda. / Flashback, Presidents: Kenneth Kaunda of Zambia, Mwalimu Julius Nyerere of Tanzania, and Milton Obote of Uganda.
www.butiamatourism.co.tz

Today celebrating with the people of Lebanon 79 years of independence. / Leo tunasherehekea pamoja na watu wa Lebanon mi...
21/11/2022

Today celebrating with the people of Lebanon 79 years of independence. / Leo tunasherehekea pamoja na watu wa Lebanon miaka 79 ya uhuru.

www.butiamatourism.co.tz

Tumeanza kuuza stempu za kumbukumbu. Nunua unapotutembelea, au tunaweza kukutumia kwa njia ya posta popote ulipo.
30/08/2022

Tumeanza kuuza stempu za kumbukumbu. Nunua unapotutembelea, au tunaweza kukutumia kwa njia ya posta popote ulipo.

Walimu mnakaribishwa kuwasiliana nasi kupanga safari ya wanafunzi wenu kutembelea Mwitongo, Butiama, na kupata elimu juu...
15/03/2022

Walimu mnakaribishwa kuwasiliana nasi kupanga safari ya wanafunzi wenu kutembelea Mwitongo, Butiama, na kupata elimu juu ya maisha ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Simu: 0782640033 / Teachers are welcome to get in touch with us to arrange visits for students to Mwitongo, Butiama, to enable students learn the history and life of Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Call: 0782640033.
@100
@100









scenery from the Iramba Islands tour on Lake Victoria. @100 @100
11/03/2022

scenery from the Iramba Islands tour on Lake Victoria.
@100
@100









Uko Mwanza au unatembelea Mwanza?Basi karibu Mwitongo, Butiama, kwenye kijiji cha kihistoria, alipozaliwa na kuzikwa Mwa...
08/03/2022

Uko Mwanza au unatembelea Mwanza?
Basi karibu Mwitongo, Butiama, kwenye kijiji cha kihistoria, alipozaliwa na kuzikwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Njoo utembelee maeneo yafuatayo:
1. Makumbusho ya Mwalimu J.K. Nyerere
2. Eneo la Mwitongo, alipozaliwa Mwalimu Nyerere
3. Makazi ya Mwalimu Nyerere, yenye maktaba yake ya vitabu zaidi ya 8,000
4. Kaburi la Mwalimu Nyerere
5. Eneo alipoishi Mtemi Nyerere Burito wa kabila la Wazanaki
Utapewa pia maelezo ya mila na desturi za kabila la Wazanaki.
Butiama ni kilomita 190 tu kutoka Mwanza. Unaweza kuja na kurudi kutoka Mwanza kwa siku hiyo hiyo kwa kutumia usafiri wa basi au gari binafsi.

The peacocks have begun to lay eggs. / Tausi wameanza kutaga mayai.
04/03/2022

The peacocks have begun to lay eggs. / Tausi wameanza kutaga mayai.















Wageni wa hivi karibuni kutoka Chuo Kikuu cha Iringa. / Recent visitors from The University of Iringa.  @100 @100       ...
22/02/2022

Wageni wa hivi karibuni kutoka Chuo Kikuu cha Iringa. / Recent visitors from The University of Iringa.
@100
@100









Nukuu za Mwalimu Nyerere katika kuadhimisha Miaka 100 ya Mwalimu Nyerere:"Nguvu ni mali, na kwamba mnyonge kupata chake ...
18/02/2022

Nukuu za Mwalimu Nyerere katika kuadhimisha Miaka 100 ya Mwalimu Nyerere:
"Nguvu ni mali, na kwamba mnyonge kupata chake ni mwenye nguvu kupenda."

@60









14/02/2022

Video ya ziara ya fupi ya Rais Samia Suluhu Hassan Mwitongo, Butiama, tarehe 7 Februari 2022. / A video of the short visit to Mwitongo, Butiama, by President Samia Suluhu Hassan on 7 February 2022.

@60









Jana, tarehe 7 Februari 2022, Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ametembelea Butiama na kuzuru kaburi la Mwalimu Nyerere. Ali...
08/02/2022

Jana, tarehe 7 Februari 2022, Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ametembelea Butiama na kuzuru kaburi la Mwalimu Nyerere. Aliandika ujumbe huu kwenye kitabu cha wageni.

@60









Walimu mnakaribishwa kuwasiliana nasi kupanga safari ya wanafunzi wenu kutembelea Mwitongo, Butiama, na kupata elimu juu...
03/02/2022

Walimu mnakaribishwa kuwasiliana nasi kupanga safari ya wanafunzi wenu kutembelea Mwitongo, Butiama, na kupata elimu juu ya maisha ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Simu: 0782640033 / Teachers are welcome to get in touch with us to arrange visits for students to Mwitongo, Butiama, to enable students learn the history and life of Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Call: 0782640033.

[English caption at end]: Novemba 1999, mwezi mmoja baada ya kuzikwa Mwalimu Julius Nyerere eneo la Mwitongo, Butiama, r...
25/01/2022

[English caption at end]: Novemba 1999, mwezi mmoja baada ya kuzikwa Mwalimu Julius Nyerere eneo la Mwitongo, Butiama, rais mstaafu wa Afrika Kusini Nelson Mandela alifika Mwitongo kuhani msiba wa Mwalimu. Baada ya muda alitoa pesa zilizojenga jengo dogo ambalo linazunguka kaburi la Mwalimu Nyerere. / In November 1999, one month after Mwalimu Juilus Nyerere was buried at Mwitongo in Butiama, former South African president Nelson Mandela visited Mwitongo to pay his condolences. He later donated funds for construction of Mwalimu Nyerere's mausoleum.

@60









[English caption at end] Butiama Cultural Tourism Enterprise itaandaa matukio mbalimbali mwezi Aprili 2022 kuadhimisha m...
21/01/2022

[English caption at end] Butiama Cultural Tourism Enterprise itaandaa matukio mbalimbali mwezi Aprili 2022 kuadhimisha miaka 100 tangu kuzaliwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Jiunge nasi kuhudhuria baadhi ya matukio hayo. Tupigie :+255782640033. / Butiama Cultural Tourism Enterprise will organize a series of events in April 2022 to commemorate 100 years since the birth of Tanzania's founding president, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Join us to celebrate his centenary. Call us: +255782640033.
@100













Wageni: Uongozi wa Mchezo wa Vishale Mkoa wa Mara wametembelea Mwitongo, Butiama, kujadili na uongozi wa Butiama Cultura...
18/01/2022

Wageni: Uongozi wa Mchezo wa Vishale Mkoa wa Mara wametembelea Mwitongo, Butiama, kujadili na uongozi wa Butiama Cultural Tourism Enterprise [BCTE] maandalizi ya mashindano ya taifa ya mchezo wa vishale ya taifa yatakayofanyika Mwitongo mwaka huu. Kwenye picha, kutoka kushoto kwenda kulia: Denis Akuno [Mjumbe, K**ati Tendaji - Darts Mara]; Paulo Katikiro [Katibu, Darts Mara]; Madaraka Nyerere [Mratibu - BCTE]; Mwita Mnibi [Mwenyekiti - Darts Mara]; Waryoba Bwana [Mjumbe, Darts Mara]; na Ayubu Samo [Mjumbe - Darts Mara].

14/01/2022

Another dance video from Egumba Cultural group. / Video nyingine ya kikundi cha ngoma cha Egumba.

[English caption at the end] Klabu ya waendesha baiskeli ya Twende Butiama imetoa kalenda yake ya 2022 inayoonesha kuwa ...
14/01/2022

[English caption at the end] Klabu ya waendesha baiskeli ya Twende Butiama imetoa kalenda yake ya 2022 inayoonesha kuwa tarehe 6 - 14 Oktoba 2022 wataendesha baiskeli toka Dar es Salaam hadi Butiama kumuenzi Mwalimu Nyerere. K**a ukipenda kujiunga na msafara huo wapigie simu iliyopo kwenye kalenda. K**a ungependa kupokea msafara wao Butiama tarehe 14 Oktoba 2022, tupigie: +255782640033 / Cyclists from the Twende Butiama club have released their 2022 calendar that includes the 6 - 14 October ride from Dar es Salaam to Butiama in honour of Mwalimu Nyerere. If you wish to join their ride call them on the numbers provided on the calendar. If you prefer to attend their arrival in Butiama on 14th October 2022 call us: +2557826+4033.
# Mwalimu
@60









[English caption at the end] Tumetembelewa hivi karibuni na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. David Kafulila, aliyeongozana n...
12/01/2022

[English caption at the end] Tumetembelewa hivi karibuni na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. David Kafulila, aliyeongozana na familia yake. Kwenye picha, muongoza wagela ni kiongozi, Gaudensia Waziri, akitoa maelezo kwa Mhe. Kafulia, wa nne kutoka kulia, mbele ya makaburi ya Mtemi Nyerere Burito na mke wake wa tano, Mgaya wa Nyang'ombe. Wewe pia unakaribishwa kututembelea Mwitongo, Butiama. Tupigie: +255782640033 . / We had the honour early in the year to host Simiyu Regional Commissioner. Hon. David Kafulila, who was accompanied by members of his family. In the photo our lead guide, Gaudensia Waziri, provides details at the graves of Chief Nyerere Burito and that of his fifth wife, Mgaya wa Nyang'ombe. You, too, are welcome to visit Mwitongo, Butiama. Call us: +255782640033.

@60









Address

P. O. Box 4
Butiama
31201

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:30
Tuesday 08:00 - 17:30
Wednesday 08:00 - 17:30
Thursday 08:00 - 17:30
Friday 09:00 - 17:30
Saturday 09:00 - 17:30
Sunday 09:30 - 17:30

Telephone

+255782640033

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Butiama Cultural Tourism Enterprise (BCTE) posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Butiama Cultural Tourism Enterprise (BCTE):

Videos

Share

Category