Kwetu MAFIA

Kwetu MAFIA Mafia ni sehemu tulivu, awezae na aje kujionea. Mafia ni sehemu salama
(1)

26/01/2025
 Mwaka Jana Mafia embe zilikuwa nyingi sana, sijawahi kuona msimu k**a ule.
25/01/2025


Mwaka Jana Mafia embe zilikuwa nyingi sana, sijawahi kuona msimu k**a ule.

 JUMA: Eti kiswahili nimepata ngapi?SADIKI: Umepata tatuJUMA: Usiniletee uchane tu.SADIKI: Duh! nimeshaupeleka kwenu.
23/01/2025



JUMA: Eti kiswahili nimepata ngapi?
SADIKI: Umepata tatu
JUMA: Usiniletee uchane tu.
SADIKI: Duh! nimeshaupeleka kwenu.

 Dah!πŸ˜€ Wangesubiri kwanza huu mnazi ukomae.
22/01/2025


Dah!πŸ˜€ Wangesubiri kwanza huu mnazi ukomae.

 Dada   tukutane mbagala nakuja na mzigo wako wa  .
21/01/2025


Dada tukutane mbagala nakuja na mzigo wako wa .

 25Th January 2025 ni siku maalum ya usafi wa baharini. Shine vijana wa Mafia tujitokeze kwa wingi.  Bahari ni yetu.Tuit...
20/01/2025


25Th January 2025 ni siku maalum ya usafi wa baharini. Shine vijana wa Mafia tujitokeze kwa wingi. Bahari ni yetu.

Tuitunze izidi kutupatia samaki kwa wingiiiiiii

Ndoa imenishinda. 😭😭😭😭
20/01/2025

Ndoa imenishinda. 😭😭😭😭

19/01/2025

MSEMO WA LEO
Chagua maisha kwa mujibu wa historia yako

 Katika maisha hutakiwi kushindwa.
19/01/2025


Katika maisha hutakiwi kushindwa.

  Hapo amekosea,  unatakiwa uanze kuweka maharage alafu wali, weka tena harage alafu wali, weka tena harage alafu wali k...
18/01/2025


Hapo amekosea, unatakiwa uanze kuweka maharage alafu wali, weka tena harage alafu wali, weka tena harage alafu wali kisha weka harage. Inatakiwa iwepo tabaka k**a tatu zenye mchanganyo.

 Ndagoni, Kitoni, Teleni, magemani, Kibisini, Malimbani, kiegeani, BweniπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
18/01/2025


Ndagoni, Kitoni, Teleni, magemani, Kibisini, Malimbani, kiegeani, BweniπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

 Bila kupunguza bajeti mwaka huu hutoboi.  Asubuhi sinywi chai, mchana natoa nguna na usiku nitaangalia k**a hakuna ulaz...
18/01/2025


Bila kupunguza bajeti mwaka huu hutoboi. Asubuhi sinywi chai, mchana natoa nguna na usiku nitaangalia k**a hakuna ulazima wa kula basi makutano kesho mchana.

Duh! Hapo upate chai ya motooooooπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
16/01/2025

Duh! Hapo upate chai ya motooooooπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

 DEREVA: Abiria mie ninaruka bodaboda haitaki kushika breki.ABIRIA: Breki za badaboda ipi?
14/01/2025


DEREVA: Abiria mie ninaruka bodaboda haitaki kushika breki.

ABIRIA: Breki za badaboda ipi?

 Kabla ya kula chakula muda wa usiku, kunywa supu ya dagaa.Zingatia neno chakula alafu muda wa usiku.
14/01/2025


Kabla ya kula chakula muda wa usiku, kunywa supu ya dagaa.

Zingatia neno chakula alafu muda wa usiku.

Address

Kilindoni

Telephone

+255782787895

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kwetu MAFIA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kwetu MAFIA:

Videos

Share