Warusimbi

Warusimbi Warusimbi is a Professional, Safe and Trustworthy Transportation Agency based in Tanzania.

Karibu Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli,Kwa safari za kila siku na za moja kwa moja kutoka Dar-es-salaam kwenda mikoa...
13/01/2025

Karibu Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli,

Kwa safari za kila siku na za moja kwa moja kutoka Dar-es-salaam kwenda mikoa mingine na kutoka mikoa mingine kwenda Dar-es-salaam,

Pia safari za kila siku na za moja kwa moja kutoka Mwanza kwenda mikoa mingine na kutoka mikoa mingine kwenda Mwanza.

Tiketi za Mabasi yote zinapatikana hapa Warusimbi. Tafadhali tembelea ofisi zetu zinazopatikana;
▪️MWANZA
Barabara ya Wurzburg, Nata, Mwanza.
Simu: 0767812351|0715652218|0783029580.
Barua Pepe: [email protected]
▪️DAR-ES-SALAAM
Ghorofa ya Pili, Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli (Mbezi), Dar-es-salaam.
Simu: 0767812351|0715652218|0783029580.
Barua Pepe: [email protected]

As we step into the year 2025, we at Warusimbi would like to extend our heartfelt gratitude to our clients, stakeholders...
06/01/2025

As we step into the year 2025, we at Warusimbi would like to extend our heartfelt gratitude to our clients, stakeholders and partners for their unwavering trust and support.

In 2025, our commitment to professionalism, safety and trust grows stronger as we continue to serve and lead the transportation industry in Tanzania.

We have big plans for 2025, and we're taking you all with us!.
Manifesting in 2025.
▪️Bus Tickets
▪️Courier Service
▪️Vehicle Imports

Together, we aim to achieve greater milestones and build a prosperous future. Let's make this year one filled with opportunities and success!.

Confirmed ✅.Safiri kifahari na Mabasi ya Katarama Luxury kutoka   kwenda   na kutoka   kwenda   kila siku.Safiri na Kata...
05/01/2025

Confirmed ✅.

Safiri kifahari na Mabasi ya Katarama Luxury kutoka kwenda na kutoka kwenda kila siku.

Safiri na Katarama Luxury kwa safari za kila siku na za moja kwa moja kwa kukata tiketi yako kupitia . Kwa maelezo zaidi, tafadhali wasiliana nasi kwa simu namba 0767812351 au 0715652218 au 0783029580.

Karibu sana Katarama Luxury 😊.

Confirmed ✅.Safiri kifahari na mabasi mapya ya Ally's Star yenye hadhi ya   kutoka   kwenda   na kutoka   kwenda   kila ...
02/01/2025

Confirmed ✅.

Safiri kifahari na mabasi mapya ya Ally's Star yenye hadhi ya kutoka kwenda na kutoka kwenda kila siku.

Safiri na Ally's Star kwa safari za kila siku na za moja kwa moja kwa kukata tiketi kupitia . Kwa maelezo zaidi, tafadhali wasiliana nasi kwa simu namba 0767812351 au 0715652218 au 0783029580.

Karibu sana Ally's Star 😊.

⚠️NEW ROUTE ALERT⚠️MWANZA>>MOSHI>>MWANZAHaya Sasa Watu Wa Moshi Na Viunga Vyake, Usafiri Wa Maana Kabisa Umefika. Safiri...
28/12/2024

⚠️NEW ROUTE ALERT⚠️

MWANZA>>MOSHI>>MWANZA

Haya Sasa Watu Wa Moshi Na Viunga Vyake, Usafiri Wa Maana Kabisa Umefika. Safiri Salama Na Ally's Star Bus Kutoka Kwenda Na Kutoka Kwenda Kila Siku.

Ally's Star Bus Tupo Kuhakikisha Tunaleta Kila Aina Ya Huduma Bora Na Kila Mkoa Wa Tanzania Tutafika.

Safiri na Ally's Star Bus Kwa Safari Za Kila Siku Na Za Moja Kwa Moja Kwa Kukata Tiketi Kupitia . Kwa maelezo zaidi, tafadhali wasiliana nasi kwa simu namba 0767812351 au 0715652218 au 0783029580.

Karibu Sana Ally's Star Bus 😊.

▪️Msimu huu wa sikukuu kutana na punguzo la nauli kutoka  SAMA LUXURY COACH kwa safari za Dar kwenda Mwanza na Mwanza kw...
21/12/2024

▪️Msimu huu wa sikukuu kutana na punguzo la nauli kutoka SAMA LUXURY COACH kwa safari za Dar kwenda Mwanza na Mwanza kwenda Dar na basi lao la VIP.

▪️Badala ya kulipa Tsh 110,000/= sasa utalipa Tsh 100,000/= Tu na utapata huduma ya;
🔥Soda🍹🍹
🔥Maji🫗🫗
🔥Korosho🥜🥜
🔥Maziwa🍼🍼
🔥Queen cakes 🥧🥧
🔥Free wifi mwanzo mwisho 🛜🛜
🔥System charging 🪫🔌
🔥Full Ac ubaridi mpaka kwenye unyayo❄️💦
🔥siti za starehe 💺💺
🔥Huduma ya choo/maliwato 🚽
🔥Utahudumiwa na wahudumu wasafi na nadhifu wanaojua wajibu wao mwanzo mpaka mwisho wa safari yako 😋.

▪️Na wale wa Semi Luxury nauli ni ile ile
Tsh 78,000/=.

▪️Kupata tiketi za Sama Luxury Coach, tembelea ofisi za zinazopatikana NATA (Mwanza), MBEZI TERMINAL (Dar-es-salaam) na UBUNGO (Dar-es-salaam). Kwa maelezo zaidi, tafadhali wasiliana nasi kwa simu namba 0767812351 au 0715652218 au 0783029580.

Bus mpya aina ya Yutong F12 Upgrade kutoka kampuni ya Mabasi ya Isamilo Express kwa ajili ya safari za kila siku na za m...
20/12/2024

Bus mpya aina ya Yutong F12 Upgrade kutoka kampuni ya Mabasi ya Isamilo Express kwa ajili ya safari za kila siku na za moja kwa moja za Dar-es-salaam - Mwanza na Mwanza - Dar-es-salaam.
▪️VIP class.
▪️Onboard toilet
▪️Azam Tv.

Pata tiketi yako kupitia Warusimbi.

Ofisi zetu zinapatikana NATA (Mwanza), MBEZI TERMINAL (Dar-es-salaam) na UBUNGO (Dar-es-salaam). Kwa maelezo zaidi, tafadhali wasiliana nasi kwa simu namba 0767812351 au 0715652218 au 0783029580.

Huyu ni Agent Abdul, mmoja wa wafanyakazi wetu hapa Warusimbi.Kupitia yeye tunaahidi kufanya kazi kwa kuzingatia misingi...
19/12/2024

Huyu ni Agent Abdul, mmoja wa wafanyakazi wetu hapa Warusimbi.

Kupitia yeye tunaahidi kufanya kazi kwa kuzingatia misingi na sheria za kampuni. Aidha, tutatekeleza majukumu yetu kwa kujielekeza katika kuleta maendeleo na ustawi wa kampuni na wafanyakazi wake.

Kupitia kampuni yetu, unaweza kufanya mambo makubwa mawili;
▪️Kutuma MIZIGO/VIFURUSHI kati ya mkoa mmoja na mwingine.
▪️Kukata TIKETI ZA MABASI kwa safari za kila siku na za moja kwa moja kati ya mkoa mmoja na mwingine.

Kwanini sisi tuwe chaguo la kwanza kila unapotaka kusafiri/kusafirisha mzigo?
▪️Sisi ni Warusimbi Company.
▪️Uzoefu wa zaidi ya miaka 4 kwenye usafirishaji wa abiria/mizigo kwa njia ya Mabasi.
▪️Tunapatikana kwenye mikoa zaidi ya 5.
▪️Tukihudumia njia zaidi ya 100.
▪️Mifumo ya tiketi mtandao zaidi ya 15 mikononi mwetu.
▪️Utaalamu, usalama na uaminifu usiyomithilika kwenye huduma.
▪️Tunafanya kazi masaa 24 ndani ya siku 7 za wiki.
▪️Tukiziwakilisha kampuni kubwa na ndogo za Mabasi Nchini Tanzania.

Ofisi zetu zinapatikana NATA (Mwanza), MBEZI TERMINAL (Dar-es-salaam) na UBUNGO (Dar-es-salaam). Kwa maelezo zaidi, tafadhali wasiliana nasi kwa simu namba 0767812351 au 0715652218 au 0783029580.

▪️Karibu sana Kaizirege and Kemebos Luxury Bus.▪️Tuma mizigo au kata tiketi za Mabasi kupitia kampuni ya  kwa safari za ...
14/12/2024

▪️Karibu sana Kaizirege and Kemebos Luxury Bus.

▪️Tuma mizigo au kata tiketi za Mabasi kupitia kampuni ya kwa safari za kila siku na za moja kwa moja kuelekea unapostahili huku ukifurahia huduma za kitaalamu, salama na zenye kuaminika.
▪️Kwa maelezo zaidi, tafadhali wasiliana nasi kwa simu namba 0767812351 au 0715652218 au 0783029580.

Ama Kwa Hakika Bado Tuna Mengi Ya Kujifunza Kutoka Kwake.Pichani Ni Mzee Abdul Warusimbi (Kushoto) Akiwa Na Mkurugenzi W...
18/09/2024

Ama Kwa Hakika Bado Tuna Mengi Ya Kujifunza Kutoka Kwake.

Pichani Ni Mzee Abdul Warusimbi (Kushoto) Akiwa Na Mkurugenzi Wa Masoko Na Mauzo Hapa Warusimbi Travels Bwana Abdul Mahfoudhu Abdul (Kulia).

Nyegera Munoo 😊.

Heri ya siku ya wafanyakazi!Tunakutakia siku njema yenye furaha, baraka na mafanikio kwako na familia yako.Endelea kufur...
01/05/2024

Heri ya siku ya wafanyakazi!

Tunakutakia siku njema yenye furaha, baraka na mafanikio kwako na familia yako.

Endelea kufurahia huduma ya tiketi za Mabasi kwa safari za moja kwa moja kutoka jijini Mwanza kwenda mikoa mingine na kutoka jijini Dar-es-salaam na mkoani Morogoro kwenda jijini Mwanza.

Ahsante kwa kuchagua Warusimbi Travels na karibu sana 😊.
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
Kwa maelezo yoyote kuhusu safari na bei za tiketi za mabasi, tafadhali tembelea tovuti yetu www.warusimbitravels.com au tupigie 0715652218|0767812351|0783029580.
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
For any information about bus trips and ticket prices, please visit our website www.warusimbitravels.com or call us at 0715652218|0767812351|0783029580.
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
Warusimbi Travels • Your Travel Partner

Warusimbi Travels inakutakia wewe na familia yako maadhimisho mema ya siku ya Mapinduzi.Warusimbi Travels wishes you and...
12/01/2024

Warusimbi Travels inakutakia wewe na familia yako maadhimisho mema ya siku ya Mapinduzi.

Warusimbi Travels wishes you and your family a happy Revolution Day.

Address

Wurzburg Road, Nata
Mwanza

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Warusimbi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Warusimbi:

Videos

Share