Loliondo_coach_official

Loliondo_coach_official KWA USAFIRI BORA CHAGUA �. KWA SAFARI ZA
•ARUSHA-MWANZA
•ARUSHA-MUSOMA
•ARUSHA-LOLIONDO. Instagram�@ LOLIONDO_COACH_OFFICIAL.
(1)

Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuwezesha kufunga na kutekeleza ibada katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani. Tunamuomb...
31/03/2025

Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuwezesha kufunga na kutekeleza ibada katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani. Tunamuomba ALLAH Akubali saumu zenu, Azifute madhambi yenu, na Awajalie moyo wa subira na uchamungu hata baada ya Ramadhani. Katika siku hii ya Eid na iwe ni mwanzo wa neema mpya baraka zisizo na kipimo, na amani ndani ya nyoyo zenu.

Jiepusheni na dhambi, shik**aneni na mema, na muendelee kueneza upendo na huruma kwa wote.

Eid mubarak!
Menejimenti, Loliondo Coach Ltd.

Safiri k**a mfalme kwenye ruti yetu ya Arusha to Mwanza kwa mabasi yetu luxury yenye wahudumu wakarimu watakaokufanya us...
29/03/2025

Safiri k**a mfalme kwenye ruti yetu ya Arusha to Mwanza kwa mabasi yetu luxury yenye wahudumu wakarimu watakaokufanya usitamani kufika mwisho wa safari yako! Utapata huduma ya free wifi, usb ports, vinywaji na bites na mengineyo mengi.

Safari zetu za kila siku:
>ARUSHA-MWANZA
>ARUSHA-TARIME
>MOSHI-MUSOMA
>ARUSHA-LOLIONDO

Wasiliana nasi kwa namba zifuatazo kulingana na mkoa👇🏿
ARUSHA : 0759 871 671
MOSHI: 0698 123 555
BABATI : 0685 931 120
SHINYANGA: 0755 629 761
MWANZA NYEGEZI: 0746 837 050
MWANZA NATA: 067 745 9677
MWANZA IGOMA: 0743 234 815
TARIME : 0653 791 708
MUSOMA : 0653 791 596
BUNDA : 0653 791 689

Online Booking 🌐
www.loliondocoach.co.tz

Get to know the difference while travelling with us🥳

Leo tuzungumze ni vitu gani tuendelee kuviboresha kwenye huduma zetu iwe ni maofisini ama kwenye mabasi? Comment yako ni...
24/03/2025

Leo tuzungumze ni vitu gani tuendelee kuviboresha kwenye huduma zetu iwe ni maofisini ama kwenye mabasi?
Comment yako ni muhimu sana kwetu kwani inatujenga na kutuweka karibu zaidi nanyi wateja wetu. 👏🏽

Safari zetu za kila siku:
>ARUSHA-MWANZA
>ARUSHA-TARIME
>MOSHI-MUSOMA
>ARUSHA-LOLIONDO

Wasiliana nasi kwa namba zifuatazo kulingana na mkoa👇🏿
ARUSHA : 0759 871 671
MOSHI: 0698 123 555
BABATI : 0685 931 120
SHINYANGA: 0755 629 761
MWANZA NYEGEZI: 0746 837 050
MWANZA NATA: 067 745 9677
MWANZA IGOMA: 0743 234 815
TARIME : 0653 791 708
MUSOMA : 0653 791 596
BUNDA : 0653 791 689

Online Booking 🌐
www.loliondocoach.co.tz

Get to know the difference while travelling with us🥳

Tunawatakia wateja wetu wote wiki mpya yenye baraka tele. Usisahau kusafiri nasi kwa safari za uhakika na kutuma mizigo ...
24/03/2025

Tunawatakia wateja wetu wote wiki mpya yenye baraka tele. Usisahau kusafiri nasi kwa safari za uhakika na kutuma mizigo yako kwa haraka na bei nafuu.

Safari zetu za kila siku:
>ARUSHA-MWANZA
>ARUSHA-TARIME
>MOSHI-MUSOMA
>ARUSHA-LOLIONDO

Wasiliana nasi kwa namba zifuatazo kulingana na mkoa👇🏿
ARUSHA : 0759 871 671
MOSHI: 0698 123 555
BABATI : 0685 931 120
SHINYANGA: 0755 629 761
MWANZA NYEGEZI: 0746 837 050
MWANZA NATA: 067 745 9677
MWANZA IGOMA: 0743 234 815
TARIME : 0653 791 708
MUSOMA : 0653 791 596
BUNDA : 0653 791 689

Online Booking 🌐
www.loliondocoach.co.tz

Get to know the difference while travelling with us🥳

Mungu ndiye hakimu wa haki. Haitufai kubeba mzigo wa visasi au maumivu ya zamani lakini badala yake tumwachie Yeye afany...
23/03/2025

Mungu ndiye hakimu wa haki. Haitufai kubeba mzigo wa visasi au maumivu ya zamani lakini badala yake tumwachie Yeye afanye kazi yake. Wale waliotuudhi, waliotuumiza, au waliotuacha katika nyakati ngumu, tuwasamehe na kuwaombea kwa upendo. Msamaha si udhaifu, bali ni ushindi wa kiroho.😇

“Msilipize kisasi, bali muachie ghadhabu ya Mungu, kwa maana imeandikwa: Kisasi ni changu, mimi nitalipa, asema Bwana.” — Warumi 12:19

Katika kipindi hiki cha toba, tujikumbushe kuwa sisi pia tumesamehewa na Mungu. Tusamehe k**a tulivyosamehewa, tupende k**a tulivyopendwa. Huo ndio wito wetu wa kweli.🙏🏿

Tunawatakia Jumapili njema na Mungu awajaze amani na baraka tele! ❤️🙏🏿

Tunawatakia wiki njema yenye baraka tele na mafanikio, kumbuka kuwa chaguo lako la usafiri ni Loliondo coach. Karibu tuk...
17/03/2025

Tunawatakia wiki njema yenye baraka tele na mafanikio, kumbuka kuwa chaguo lako la usafiri ni Loliondo coach. Karibu tukuhudumie, vile vile tunatuma vifurushi na parcel kwa bei nafuu na kwa wakati.
#

Kumbuka, kushindwa leo si mwisho wa safari kesho ni fursa mpya ya kushinda! Changamoto za leo zinakuandaa kwa baraka za ...
09/03/2025

Kumbuka, kushindwa leo si mwisho wa safari kesho ni fursa mpya ya kushinda! Changamoto za leo zinakuandaa kwa baraka za kesho. Kuwa na subira, endelea kusonga mbele, na usikate tamaa, kwani Mungu ana mpango mzuri kwa maisha yako.

“Machozi huja usiku, lakini asubuhi huja furaha.” – Zaburi 30:5

Baki na imani kesho yako ni yenye matumaini!!!

Tunawatakia mfungo mwema wa kwaresma.

Heri ya siku ya wanawake duniani!❤️Nyinyi ni nguzo muhimu, wenye nguvu na msukumo mkubwa. Endeleeni kung’aa na mnaweza k...
08/03/2025

Heri ya siku ya wanawake duniani!❤️
Nyinyi ni nguzo muhimu, wenye nguvu na msukumo mkubwa. Endeleeni kung’aa na mnaweza kufanikisha chochote!

Shout out kwa wanawake wote duniani!😊

Tunawatakia wiki njema yenye mafanikio tele!Karibuni msafiri nasi na mabasi yetu ya Ordinary class, Semi luxury class, V...
03/03/2025

Tunawatakia wiki njema yenye mafanikio tele!

Karibuni msafiri nasi na mabasi yetu ya Ordinary class, Semi luxury class, VIP CLASS na VVIP class kila siku! Bila kusahau tunasafirisha vifurushi kwa bei rafiki sana na kwa wakati. Karibu tukuhudumie.!

Safari zetu za kila siku:
>ARUSHA-MWANZA
>ARUSHA-TARIME
>MOSHI-MUSOMA
>ARUSHA-LOLIONDO

Wasiliana nasi kwa namba zifuatazo kulingana na mkoa👇🏿
ARUSHA : 0759 871 671
MOSHI: 0698 123 555
BABATI : 0685 931 120
SHINYANGA: 0755 629 761
MWANZA NYEGEZI: 0746 837 050
MWANZA NATA: 067 745 9677
MWANZA IGOMA: 0743 234 815
TARIME : 0653 791 708
MUSOMA : 0653 791 596
BUNDA : 0653 791 689

Online Booking 🌐
www.loliondocoach.co.tz

Get to know the difference while travelling with us🥳

Maisha yanaweza kuwa na changamoto lakini usisahau kwamba Mungu ni mwaminifu. Haijalishi unapitia giza kiasi gani nuru y...
02/03/2025

Maisha yanaweza kuwa na changamoto lakini usisahau kwamba Mungu ni mwaminifu. Haijalishi unapitia giza kiasi gani nuru yake itaangaza njia yako. Omba, amini na simama imara katika imani.😇

“Bwana atakutangulia, naye atakuwa pamoja nawe; hatakupungukia wala kukuacha. Usiiogope wala usifadhaike.” — Kumbukumbu la Torati 31:8

Usiruhusu huzuni au mashaka yakudhoofishe. Mweke Mungu mbele katika kila jambo, naye atakupa amani ipitayo akili zote! Tunawatakia Jumapili iliyojaa neema, na ushindi.💫

Mwezi mtukufu wa Ramadhan umewadia, mwezi wa baraka, msamaha, na ukaribu na Mwenyezi Mungu. Huu ni wakati wa kujitahidi ...
28/02/2025

Mwezi mtukufu wa Ramadhan umewadia, mwezi wa baraka, msamaha, na ukaribu na Mwenyezi Mungu. Huu ni wakati wa kujitahidi katika ibada, kujinyima kwa ajili ya radhi za Allah, na kusaidia wenye uhitaji. Kila swaumu unayoshika ni mlango wa rehema, na kila dua unayoomba haipotei bure.

Mwenyezi Mungu anasema:

“Na fungeni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu; Yeye atakupeni ujira wenu, wala msivunje (thawabu zenu).” (Qur’an 47:35)

Loliondo Coach inawatakia kila la heri katika mwezi huu mtukufu. Safari zako zibarikiwe, na Mwenyezi Mungu akukirimie nguvu, afya, na imani thabiti. Ramadhan Kareem! 🌙✨

Usisubiri kuhadithiwa Huduma za nyota tano zitolewazo kwenye mabasi yetu ya VVIP ya Arusha - Tarime Kwa 70,000 tu. Wahud...
26/02/2025

Usisubiri kuhadithiwa Huduma za nyota tano zitolewazo kwenye mabasi yetu ya VVIP ya Arusha - Tarime Kwa 70,000 tu. Wahudumu wetu wako tayari kukuhudumia uwapo safarini wakati wote.

Karibu usafiri nasi.

2025 hatupoi hatuboi.Stay tuned tuna jambo letu. 🔥
24/02/2025

2025 hatupoi hatuboi.

Stay tuned tuna jambo letu. 🔥

Tunawatakia wateja wetu wote mwanzo mzuri wa wiki uliojaa baraka na mafanikio. Safari zako ni kipaumbele chetu na tunaji...
24/02/2025

Tunawatakia wateja wetu wote mwanzo mzuri wa wiki uliojaa baraka na mafanikio. Safari zako ni kipaumbele chetu na tunajitahidi kuhakikisha unafurahia huduma za usafiri zilizo salama na za kuaminika.

Unahitaji kutuma mzigo au kifurushi kwa wapendwa wako? Loliondo Coach inahakikisha mizigo yako inawafikia salama na kwa wakati muafaka kabisa.

Zaidi ya yote, wafanyakazi wetu wanayo shauku kubwa ya kukuhudumia kwa tabasamu, weledi, na huduma ya kiwango cha juu. Tunakukaribisha ujionee tofauti na Loliondo Coach.🔥

Leo ni siku tukufu, siku ya baraka na msamaha. Mwenyezi Mungu anasema:“Basi pozeni nyoyo zenu kwa kumkumbuka Allah. Bila...
21/02/2025

Leo ni siku tukufu, siku ya baraka na msamaha. Mwenyezi Mungu anasema:

“Basi pozeni nyoyo zenu kwa kumkumbuka Allah. Bila shaka kwa kumkumbuka Allah nyoyo hutulia.” (Surah Ar-Ra’d 13:28)

Dunia na shughuli zake zitaendelea kuwepo, lakini Swala ya Ijumaa ni fursa ya kupata radhi za Allah. Acha biashara, simamisha safari, sahau harakati za muda twende msikitini tukaombe rehema!

Loliondo Coach inakutakia Jumu’ah yenye baraka, na baada ya swala, tuko tayari kukupeleka salama safari yako iendelee.

K**a mdau wetu wewe ni team gani kati ya hizo hapo juu?😜
20/02/2025

K**a mdau wetu wewe ni team gani kati ya hizo hapo juu?😜

Kutana na Bakari Issa almaarufu k**a Boyka!🔥 Miongoni mwa madereva wetu machachari kabisa. Utampata kwenye ruti yetu ya ...
19/02/2025

Kutana na Bakari Issa almaarufu k**a Boyka!🔥
Miongoni mwa madereva wetu machachari kabisa. Utampata kwenye ruti yetu ya ARUSHA - TARIME kwenye VVIP CLASS (T 646 EKS)
Tunajivunia kuwa na dereva anayezingatia muda na kutoa huduma ya kipekee kwa wateja wetu.
Daima Tutahakikisha safari yako inakuwa ya kuenjoy, yenye usalama, na bila usumbufu. Tunathamini muda wako na tunahakikisha unafika kwa wakati.🔥🙏🏿

Tunakutakia wiki njema na mafanikio katika kila jambo unalofanya. Kumbukabkuwa safari zako zitakuwa bora zaidi unapochag...
17/02/2025

Tunakutakia wiki njema na mafanikio katika kila jambo unalofanya. Kumbukabkuwa safari zako zitakuwa bora zaidi unapochagua kusafiri nasi.🥳 Usalama, uaminifu na huduma bora ni dhamira yetu kwako.

Pia, ikiwa unahitaji kutuma mzigo au kifurushi chochote, tupo tayari kukuhudumia kwa haraka na kwa uaminifu. Tunaelewa umuhimu wa mizigo yako na ndiyo maana tunahakikisha inafika salama na kwa wakati unaotakiwa.

Asante kwa kutuamini.🙏🏿 Tunakutakia wiki njema yenye baraka tele.

Address

Loliondocoach
Arusha

Opening Hours

Monday 04:00 - 22:00
Tuesday 04:00 - 22:00
Wednesday 04:00 - 22:00
Thursday 04:00 - 22:00
Friday 04:00 - 22:00
Saturday 04:00 - 22:00
Sunday 04:00 - 22:00

Telephone

+255759871671

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Loliondo_coach_official posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Loliondo_coach_official:

Videos

Share

Category