Charlz Con Wild

Charlz Con Wild Leisure and Travel

16/07/2024
04/03/2024

NIWAKUMBUSHE TENA BAADHI YA WATU
MAANA NAONA HUU UCHAFU UMEZIDI SASA (HACKERS)

SOMA NA SHARE KWA WENGINE.

Kuna mchezo sasa hivi watu wanalalamika account kuwatag huku zikiwa na picha za matusii huku wakishindwa kujuwa kwa nini imekuwa hivyo

Hao ni hackers ambao wengi wapo Kenya huwa wanawaingia kwa kuwaambia wapo tayari kuwa unganisha wapate fund za UNCEF FOUNDATION huku wakiwaambia wawatumie namba zao na kukuambia ujaze taarifa fupi

Sasa ukijichanganya ukajaza wale jamaa wanafanya kitu kimoja ukiwapa namba yako wanaingia facebook

Wakiingia wanaenda sehemu ya kuforget PASSWORD ya FACEBOOK watakuambia kuna CODE unatumiwa hapo ili ku prove ombi lako la KUPOKEA FEDHA, sasa wee kwa kuwa unatamaa ya hela unawatumia CODE.

Kitendo cha kuwatumia CODE ndo kosa linaanzia hapo wakiingiza code kule tuu wabadili password then wanamiliki account yako wanwatafuta watu wako wa karibu na kuwaomba hela huku wakiendelea na mchezo wa kuwaibia watu wako account zao k**a kawaida kupitia wewe maana k**a mtu wako wa karibu akikutumia link na wewe silazima utamwamini hapo ndo kosa

Cha kuzingatia nenda kwenye SETTING ya simu yako kwenye swala la mtu aku TAG lazima u prove k**a hujaonekana public hii itakuwa msaada kwako

Pia zingatia hakuna hela ya bure bila kufanya kazi nje na hapo mtaibiwa hadi muuombe poo

Zingatia usipokee link ambayo haiko salama https hiyo s hapo mwisho inaonyesha link ni salama
Ikija http hiyo achana nayo kabisaa utaliswa vibaya sana

PIA KUNA KITU KINAITWA [CLICK BITE]
Hii ni ile umetumia PICHA CHAFU na kwakuwa watu wengi wanapenda kuziangalia kisiri siri huwa wanafungua lakini hawapati kile wanachokiona, maana yake ina ku REDIRECT na kukupeleka kwwnye MATANGAZO ambayo wewe ukifungua tu yeye kwenye BLOG yake au WEBSITE yake inapata watembeleaji wengi na hivyo yeye kulipwa kutokana na MATANGAZO.

USIFUNGUE LINK.

PLEASE SHARE KWA WENGINE WAJUE.

12/01/2024

When a slay queen leeding others to cross a river🤣

08/01/2024

Don't lough yourself🤣🤣

Katika kukatiza mitaa yako flani hivi unakutana na hiki kichaka kimejaa hivi, utafanya nini?
07/01/2024

Katika kukatiza mitaa yako flani hivi unakutana na hiki kichaka kimejaa hivi, utafanya nini?



Mikumi National Park
20/12/2023

Mikumi National Park

16/12/2023

Amazing nature. Stick insect.

Karoli Shirima

11/12/2023

So close to elephat mama and her baby.

11/12/2023

Karoli Shirima Mikumi National Park

Address

Morogoro

Telephone

+255716588615

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Charlz Con Wild posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Charlz Con Wild:

Videos

Share